Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 27:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “Yehova Mungu wa roho+ za namna zote za mwili+ na aweke rasmi juu ya kusanyiko mwanamume+

  • Ayubu 33:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Roho ya Mungu ilinifanya mimi,+

      Na pumzi ya Mweza-Yote mwenyewe ikanifanya kuwa hai.+

  • Zaburi 33:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Mbingu zilifanywa kwa neno la Yehova,+

      Nayo majeshi yake yote yalifanywa kwa roho ya kinywa chake.+

  • Isaya 32:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 mpaka roho itakapomiminwa juu yetu kutoka juu,+ na nyika itakuwa imekuwa shamba la matunda, na shamba la matunda lihesabiwe kuwa msitu halisi.+

  • Ezekieli 37:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Naye akaendelea kuniambia: “Tolea upepo unabii. Toa unabii, Ee mwana wa binadamu, nawe utauambia upepo, ‘Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi: “Ingia kutoka kwenye zile pepo nne, Ee upepo, na upulize juu ya watu hawa waliouawa,+ ili wawe hai.” ’ ”+

  • Matendo 17:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Kwa maana kupitia kwake tuna uhai na tunaenda na kuwako,+ hata kama vile ambavyo watu fulani ambao ni washairi+ kati yenu wamesema, ‘Kwa maana sisi pia ni uzao wake.’

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki