9 Naye akaanza kukusanya pamoja Yuda wote na Benyamini+ na wakaaji wageni+ waliokuwa pamoja nao kutoka katika Efraimu na Manase na Simeoni, kwa maana walikuwa wamekimbia wakamwendea kutoka katika Israeli wakiwa hesabu kubwa walipoona kwamba Yehova Mungu wake alikuwa pamoja naye.+