4 “Katika siku hizo na katika wakati huo,”+ asema Yehova, “wana wa Israeli, wao na wana wa Yuda pamoja, watakuja.+ Watatembea, wakilia huku wakitembea,+ nao watamtafuta Yehova Mungu wao.+
6 Nami nitaifanya nyumba ya Yuda iwe kuu, nami nitaiokoa nyumba ya Yosefu.+ Nami nitawapa makao, kwa maana nitawaonyesha rehema;+ nao watakuwa kama watu ambao sikutupilia mbali;+ kwa maana mimi ni Yehova Mungu wao, nami nitawajibu.+