7 Na miguu yao ilikuwa miguu iliyonyooka, na wayo wa miguu yao ulikuwa kama wayo wa mguu wa ndama;+ nayo ilikuwa iking’aa kama mng’ao wa shaba iliyong’arishwa.+
6 Na mwili wake ulikuwa kama krisolito,+ na uso wake kama umeme,+ na macho yake kama mienge yenye kuwaka moto,+ na mikono yake na miguu yake ilionekana kama shaba iliyong’arishwa,+ na sauti ya maneno yake ilikuwa kama sauti ya umati.