Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezekieli 10:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Nao makerubi sasa wakainua mabawa yao na kuinuka kutoka duniani+ mbele ya macho yangu. Walipoenda, magurudumu yale pia yalikuwa karibu, kando yao; nao wakaanza kusimama katika mwingilio wa mashariki wa lango la nyumba ya Yehova, na utukufu wa Mungu wa Israeli ulikuwa juu yao, kutoka juu.

  • Ezekieli 40:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Kisha akaja katika lango, ambalo upande wake wa mbele unaelekea mashariki,+ akapanda juu kwa kutumia ngazi zake. Naye akaanza kupima kizingiti cha lango hilo,+ upana wa utete mmoja, na kile kizingiti kingine, upana wa utete mmoja.

  • Ezekieli 42:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Naye akamaliza vipimo vya nyumba ya ndani, naye akanitoa nje kupitia lango ambalo upande wake wa mbele ulielekea mashariki,+ naye akalipima kuzunguka pande zote.

  • Ezekieli 44:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 44 Naye akanirudisha kupitia lango la patakatifu, lile la nje linaloelekea mashariki,+ nalo lilikuwa limefungwa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki