19 Nao makerubi sasa wakainua mabawa yao na kuinuka kutoka duniani+ mbele ya macho yangu. Walipoenda, magurudumu yale pia yalikuwa karibu, kando yao; nao wakaanza kusimama katika mwingilio wa mashariki wa lango la nyumba ya Yehova, na utukufu wa Mungu wa Israeli ulikuwa juu yao, kutoka juu.
6 Kisha akaja katika lango, ambalo upande wake wa mbele unaelekea mashariki,+ akapanda juu kwa kutumia ngazi zake. Naye akaanza kupima kizingiti cha lango hilo,+ upana wa utete mmoja, na kile kizingiti kingine, upana wa utete mmoja.
15 Naye akamaliza vipimo vya nyumba ya ndani, naye akanitoa nje kupitia lango ambalo upande wake wa mbele ulielekea mashariki,+ naye akalipima kuzunguka pande zote.