20 ili watembee katika sheria zangu na kushika maamuzi yangu ya hukumu na kuyatenda;+ na ili wawe watu wangu kwelikweli+ na ili mimi mwenyewe niwe Mungu wao.” ’+
27 Nami nitaitia roho yangu ndani yenu,+ nami nitachukua hatua ili mtembee katika masharti yangu,+ nayo maamuzi yangu ya hukumu mtayashika na kuyafanya kikweli.+