Kutoka 27:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Nawe utafanya pembe+ zake kwenye ncha zake nne. Pembe zake zitatoka kwake, nawe utaifunika kwa shaba.+ Ufunuo 9:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na malaika+ wa sita akaipiga tarumbeta+ yake. Nami nikaisikia sauti+ moja kutoka katika zile pembe za madhabahu+ ya dhahabu iliyo mbele za Mungu
2 Nawe utafanya pembe+ zake kwenye ncha zake nne. Pembe zake zitatoka kwake, nawe utaifunika kwa shaba.+
13 Na malaika+ wa sita akaipiga tarumbeta+ yake. Nami nikaisikia sauti+ moja kutoka katika zile pembe za madhabahu+ ya dhahabu iliyo mbele za Mungu