Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 38:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Halafu akafanya pembe zake+ kwenye zile ncha zake nne. Pembe zake zilitoka kwake. Kisha akaifunika kwa shaba.+

  • Hesabu 16:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 naam, vyetezo vya wanaume hao waliozitendea dhambi nafsi zao wenyewe.+ Nao watavifanya viwe mabamba membamba ya madini ya kutanda madhabahu,+ kwa sababu walivitoa mbele za Yehova, hivi kwamba vikawa vitakatifu; navyo vitakuwa ishara kwa wana wa Israeli.’”+

  • 1 Wafalme 8:64
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 64 Siku hiyo mfalme alilazimika kutakasa sehemu ya katikati ya ua ulio mbele ya nyumba ya Yehova,+ kwa sababu ilimpasa atoe hapo dhabihu ya kuteketezwa na toleo la nafaka na vipande vyenye mafuta vya dhabihu za ushirika; kwa maana ile madhabahu ya shaba+ iliyoko mbele za Yehova ilikuwa ndogo mno isiweze kuchukua ile dhabihu ya kuteketezwa na toleo la nafaka na vipande vya mafuta+ vya dhabihu za ushirika.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki