Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 4:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Naye kuhani atachukua sehemu ya damu ya toleo la dhambi kwa kidole chake na kuitia juu ya pembe+ za madhabahu hiyo ya toleo la kuteketezwa, naye ataimimina damu yake inayobaki kwenye msingi wa madhabahu ya toleo la kuteketezwa.

  • 1 Wafalme 2:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Na habari hiyo ikamfikia Yoabu+—kwa maana Yoabu alikuwa na mwelekeo wa kumfuata Adoniya,+ ingawa hakuwa na mwelekeo wa kumfuata Absalomu+—na Yoabu akakimbia kwenda katika hema+ la Yehova, akashikilia kwa nguvu pembe za madhabahu.+

  • Zaburi 118:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Yehova ndiye Mungu,+

      Naye hutupa nuru.+

      Fungeni maandamano ya sherehe+ kwa matawi,+

      Mpaka kwenye pembe za madhabahu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki