5 “‘Kisha yule ng’ombe-dume mchanga atachinjwa mbele za Yehova; na wana wa Haruni, makuhani,+ wataitoa damu na kuinyunyiza damu hiyo kwenye madhabahu kuizunguka pande zote,+ madhabahu iliyo kwenye mwingilio wa hema la mkutano.
19 Naye kuhani atachukua sehemu ya damu ya toleo la dhambi na kuiweka kwenye mwimo wa mlango+ wa ile Nyumba na juu ya zile pembe nne za rafu ya madhabahu+ inayozunguka na juu ya mwimo wa lango la ua wa ndani.