6 Kisha akaja katika lango, ambalo upande wake wa mbele unaelekea mashariki,+ akapanda juu kwa kutumia ngazi zake. Naye akaanza kupima kizingiti cha lango hilo,+ upana wa utete mmoja, na kile kizingiti kingine, upana wa utete mmoja.
2 Ndipo Yehova akaniambia: “Lango hili, litakaa likiwa limefungwa. Halitafunguliwa, na hakuna mtu wa vivi hivi tu atakayeliingilia; kwa maana Yehova mwenyewe, Mungu wa Israeli,+ ameliingilia, nalo litakaa likiwa limefungwa.