26 Kwa maana tukizoea kutenda dhambi kimakusudi+ baada ya kupokea ujuzi sahihi juu ya kweli,+ hakuna tena dhabihu yoyote iliyobaki kwa ajili ya dhambi,+
11 Yeye anayetenda ukosefu wa uadilifu, na azidi kutenda ukosefu wa uadilifu;+ na mwenye uchafu azidi kufanywa mwenye uchafu;+ lakini mwadilifu+ na azidi kufanya uadilifu, na mtakatifu azidi kufanywa kuwa mtakatifu.+