Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 31:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Basi akachukua ndugu zake pamoja naye akaanza kumfuatilia+ mwendo wa safari ya siku saba, akamfikia katika eneo lenye milima la Gileadi.

  • Hesabu 32:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Sasa wana wa Rubeni+ na wana wa Gadi+ wakawa na mifugo mingi, mingi sana, kwa kweli. Nao wakaanza kuiona nchi ya Yazeri+ na nchi ya Gileadi, na, tazama! mahali hapo palikuwa mahali pa mifugo.

  • Waamuzi 10:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Kwa hiyo wakawavunja-vunja na kuwakandamiza sana wana wa Israeli mwaka huo—kwa miaka kumi na minane wana wote wa Israeli waliokuwa ng’ambo ya Yordani katika nchi ya Waamori iliyokuwa katika Gileadi.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki