Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 41:51
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 51 Basi Yosefu akamwita jina lake mzaliwa wa kwanza Manase,+ kwa sababu, kama alivyosema, “Mungu amenifanya nisahau taabu yangu yote na nyumba yote ya baba yangu.”+

  • Mwanzo 48:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Lakini, Israeli akaunyoosha mkono wake wa kuume na kuuweka juu ya kichwa cha Efraimu,+ ingawa ndiye aliyekuwa mdogo,+ nao mkono wake wa kushoto juu ya kichwa cha Manase.+ Aliiweka mikono yake hivyo kwa makusudi, kwa kuwa Manase ndiye aliyekuwa mzaliwa wa kwanza.+

  • Yoshua 13:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Na zaidi, Musa akalipatia zawadi nusu ya kabila la Manase, nayo ikawa ya ile nusu ya kabila la wana wa Manase kulingana na familia zao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki