Mwanzo 35:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Basi nafsi+ yake ilipokuwa ikitoka (kwa sababu alikufa)+ akamwita jina lake Ben-oni; lakini baba yake akamwita Benyamini.+ Yoshua 18:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Na majiji ya kabila la wana wa Benyamini kulingana na familia zao yalikuwa ni Yeriko+ na Beth-hogla na Emek-kesisi,
18 Basi nafsi+ yake ilipokuwa ikitoka (kwa sababu alikufa)+ akamwita jina lake Ben-oni; lakini baba yake akamwita Benyamini.+
21 Na majiji ya kabila la wana wa Benyamini kulingana na familia zao yalikuwa ni Yeriko+ na Beth-hogla na Emek-kesisi,