Mwanzo 49:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 “Simeoni na Lawi ni ndugu.+ Silaha zao za kuchinjia ni vyombo vya jeuri.+ Yoshua 19:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kisha kura+ ya pili ilitokea kwa ajili ya Simeoni,+ kwa ajili ya kabila la wana wa Simeoni kulingana na familia zao. Na urithi wao ukawa katikati ya urithi wa wana wa Yuda.+
19 Kisha kura+ ya pili ilitokea kwa ajili ya Simeoni,+ kwa ajili ya kabila la wana wa Simeoni kulingana na familia zao. Na urithi wao ukawa katikati ya urithi wa wana wa Yuda.+