22 “Mwana wa binadamu, ni neno gani hili la kimethali mlilo nalo katika udongo wa Israeli,+ linalosema, ‘Siku zimerefushwa,+ na maono yote yameangamia’?+
4 na kusema:+ “Huku kuwapo kwake kulikoahidiwa kuko wapi?+ Kwani, tangu siku mababu zetu walipolala katika kifo, mambo yote yanaendelea sawasawa kama tangu mwanzo wa uumbaji.”+