Ezekieli 43:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Na, tazama! utukufu+ wa Mungu wa Israeli ulikuwa ukija kutoka upande wa mashariki,+ nayo sauti yake ilikuwa kama sauti ya maji mengi;+ nayo dunia yenyewe ikang’aa kwa sababu ya utukufu wake.+
2 Na, tazama! utukufu+ wa Mungu wa Israeli ulikuwa ukija kutoka upande wa mashariki,+ nayo sauti yake ilikuwa kama sauti ya maji mengi;+ nayo dunia yenyewe ikang’aa kwa sababu ya utukufu wake.+