-
Ezekieli 34:10Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
10 Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi, ‘Tazama niko dhidi ya wachungaji,+ na hakika mimi nitadai kondoo zangu kutoka mkononi mwao na kuwafanya waache kuwalisha kondoo zangu,+ nao wachungaji hawatajilisha tena kamwe;+ nami nitawakomboa kondoo zangu kutoka kinywani mwao, nao hawatakuwa chakula chao.’ ”+
-