Kumbukumbu la Torati 32:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Walianza kumchochea awe na wivu+ kwa miungu migeni;+Kwa mambo yenye kuchukiza waliendelea kumtia uchungu.+ Yeremia 2:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Yehova amesema hivi: “Baba zenu walipata jambo gani ndani yangu ambalo halikuwa la haki,+ hivi kwamba wakasimama mbali sana nami,+ nao wakaendelea kufuata sanamu ya ubatili+ na wao wenyewe wakawa ubatili?+
16 Walianza kumchochea awe na wivu+ kwa miungu migeni;+Kwa mambo yenye kuchukiza waliendelea kumtia uchungu.+
5 Yehova amesema hivi: “Baba zenu walipata jambo gani ndani yangu ambalo halikuwa la haki,+ hivi kwamba wakasimama mbali sana nami,+ nao wakaendelea kufuata sanamu ya ubatili+ na wao wenyewe wakawa ubatili?+