Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 32:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Aliendelea kumfanya apande juu ya mahali pa juu pa dunia,+

      Hivi kwamba akala mazao ya shamba.+

      Naye akaendelea kumfanya anyonye asali kutoka katika mwamba,+

      Na mafuta kutoka katika jiwe gumu;+

  • 2 Samweli 5:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Basi wanaume wote wazee+ wa Israeli wakaja kwa mfalme katika Hebroni, na Mfalme Daudi akafanya agano+ nao katika Hebroni mbele za Yehova; kisha wakamtia mafuta+ Daudi awe mfalme juu ya Israeli.+

  • 1 Wafalme 4:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Naye Sulemani alikuwa mtawala juu ya falme zote kutoka ule Mto+ hadi kwenye nchi ya Wafilisti na hadi kwenye mpaka wa Misri. Walikuwa wakileta zawadi na kumtumikia Sulemani siku zote za maisha yake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki