Ezekieli 33:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 naye mwovu arudishe kitu kile kilichowekwa rehani,+ alipe vitu vile vilivyochukuliwa kwa unyang’anyi,+ naye kwa kweli atembee katika sheria za uzima kwa kutotenda ukosefu wa haki,+ hakika ataendelea kuishi.+ Yeye hatakufa.
15 naye mwovu arudishe kitu kile kilichowekwa rehani,+ alipe vitu vile vilivyochukuliwa kwa unyang’anyi,+ naye kwa kweli atembee katika sheria za uzima kwa kutotenda ukosefu wa haki,+ hakika ataendelea kuishi.+ Yeye hatakufa.