Maombolezo 5:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Mababu zetu ndio wamefanya dhambi.+ Hawako tena. Lakini sisi, imekuwa lazima tuchukue makosa yao.+ Ezekieli 23:49 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 49 Nao watauleta mwenendo wenu mpotovu juu yenu,+ nanyi mtazichukua dhambi za sanamu zenu za mavi; nanyi mtalazimika kujua kwamba mimi ni Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.’ ”+
49 Nao watauleta mwenendo wenu mpotovu juu yenu,+ nanyi mtazichukua dhambi za sanamu zenu za mavi; nanyi mtalazimika kujua kwamba mimi ni Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.’ ”+