2 Mambo ya Nyakati 36:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Naye akamwasi hata Mfalme Nebukadneza,+ aliyekuwa amemwapisha kwa Mungu;+ naye akaendelea kuifanya shingo yake kuwa ngumu+ na kuufanya moyo wake kuwa mgumu+ ili asirudi kwa Yehova Mungu wa Israeli. Yeremia 5:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Hata wakisema: “Kama anavyoishi Yehova!” watakuwa wanaapa kwa uwongo mtupu.+
13 Naye akamwasi hata Mfalme Nebukadneza,+ aliyekuwa amemwapisha kwa Mungu;+ naye akaendelea kuifanya shingo yake kuwa ngumu+ na kuufanya moyo wake kuwa mgumu+ ili asirudi kwa Yehova Mungu wa Israeli.