Mathayo 5:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Acheni tu neno lenu Ndiyo limaanishe Ndiyo, Siyo yenu, Siyo;+ kwa maana linalozidi hayo linatoka kwa yule mwovu.+ Waroma 1:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 wasio na uelewaji,+ waongo kwa mapatano,+ wasio na upendo wa asili,+ wasio na rehema.+
37 Acheni tu neno lenu Ndiyo limaanishe Ndiyo, Siyo yenu, Siyo;+ kwa maana linalozidi hayo linatoka kwa yule mwovu.+