Ufunuo 10:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Nami nikakichukua kile kitabu kidogo cha kukunjwa kutoka mkononi mwa yule malaika kisha nikakila,+ nacho kinywani mwangu kilikuwa kitamu kama asali;+ lakini nilipokuwa nimekila, tumbo langu likatiwa uchungu.
10 Nami nikakichukua kile kitabu kidogo cha kukunjwa kutoka mkononi mwa yule malaika kisha nikakila,+ nacho kinywani mwangu kilikuwa kitamu kama asali;+ lakini nilipokuwa nimekila, tumbo langu likatiwa uchungu.