Ezekieli 31:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Tazama! Mwashuru, mwerezi katika Lebanoni,+ wenye matawi ya kupendeza,+ wenye kifuniko chenye majani mengi kinachotoa kivuli, na wenye kimo kirefu,+ hivi kwamba kilele chake kilikuwa kati ya mawingu.+ Danieli 4:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Mti huo ulikua, ukawa na nguvu, mwishowe urefu wake ukafika mbinguni, nao ulikuwa unaonekana mpaka sehemu za mwisho za dunia nzima.+
3 Tazama! Mwashuru, mwerezi katika Lebanoni,+ wenye matawi ya kupendeza,+ wenye kifuniko chenye majani mengi kinachotoa kivuli, na wenye kimo kirefu,+ hivi kwamba kilele chake kilikuwa kati ya mawingu.+
11 Mti huo ulikua, ukawa na nguvu, mwishowe urefu wake ukafika mbinguni, nao ulikuwa unaonekana mpaka sehemu za mwisho za dunia nzima.+