7 Lakini Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova mwenyewe atanisaidia.+ Ndiyo sababu sitalazimika kufedheheka. Ndiyo sababu nimeufanya uso wangu kama jiwe, nami najua kwamba sitatiwa aibu.+
20 “Nami nimekufanya wewe kuwa ukuta wa shaba wenye ngome kwa watu hawa;+ nao hakika watapigana nawe, lakini hawatakushinda.+ Kwa maana mimi niko pamoja nawe, ili kukuokoa na kukukomboa,”+ asema Yehova.