Mambo ya Walawi 25:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa hiyo mtazishika sheria zangu na kufuata maamuzi yangu ya hukumu na kuyatenda. Ndipo mtakapokaa katika nchi hiyo kwa usalama.+ Kumbukumbu la Torati 5:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Nanyi mtakuwa waangalifu kufanya kama vile ambavyo Yehova Mungu wenu amewaamuru ninyi.+ Msigeuke kuume wala kushoto.+
18 Kwa hiyo mtazishika sheria zangu na kufuata maamuzi yangu ya hukumu na kuyatenda. Ndipo mtakapokaa katika nchi hiyo kwa usalama.+
32 Nanyi mtakuwa waangalifu kufanya kama vile ambavyo Yehova Mungu wenu amewaamuru ninyi.+ Msigeuke kuume wala kushoto.+