45 Kisha Farao akaliita jina la Yosefu Zafenath-panea, naye akampa Asenathi,+ binti ya Potifera kuhani wa Oni,+ awe mke wake. Naye Yosefu akaanza kwenda kotekote katika nchi ya Misri.+
34 Zaidi ya hayo, Farao Neko akamfanya Eliakimu+ mwana wa Yosia kuwa mfalme mahali pa Yosia baba yake na kulibadili jina lake kuwa Yehoyakimu; naye akamchukua Yehoahazi na kumpeleka Misri, naye akafa huko mwishowe.+