Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 41:45
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 45 Kisha Farao akaliita jina la Yosefu Zafenath-panea, naye akampa Asenathi,+ binti ya Potifera kuhani wa Oni,+ awe mke wake. Naye Yosefu akaanza kwenda kotekote katika nchi ya Misri.+

  • 2 Wafalme 23:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Zaidi ya hayo, Farao Neko akamfanya Eliakimu+ mwana wa Yosia kuwa mfalme mahali pa Yosia baba yake na kulibadili jina lake kuwa Yehoyakimu; naye akamchukua Yehoahazi na kumpeleka Misri, naye akafa huko mwishowe.+

  • 2 Wafalme 24:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Tena mfalme wa Babiloni+ akamfanya Matania ndugu ya baba yake+ kuwa mfalme mahali pake. Kisha akabadili jina lake kuwa Sedekia.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki