Danieli 2:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Naye anabadili nyakati na majira,+ akiondoa wafalme na kuwasimamisha wafalme,+ akiwapa hekima wenye hekima na kuwapa ujuzi wale wanaojua utambuzi.+ Matendo 1:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Akawaambia: “Si juu yenu kujua nyakati au majira+ ambayo Baba ameweka katika mamlaka yake mwenyewe;+
21 Naye anabadili nyakati na majira,+ akiondoa wafalme na kuwasimamisha wafalme,+ akiwapa hekima wenye hekima na kuwapa ujuzi wale wanaojua utambuzi.+
7 Akawaambia: “Si juu yenu kujua nyakati au majira+ ambayo Baba ameweka katika mamlaka yake mwenyewe;+