Danieli 10:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na, tazama! mkono fulani ukanigusa,+ nao ukanitikisa polepole niinuke kwa magoti yangu na viganja vya mikono yangu. Zekaria 4:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Na malaika aliyekuwa akisema nami akarudi na kuniamsha, kama mtu anayeamshwa kutoka katika usingizi.+
10 Na, tazama! mkono fulani ukanigusa,+ nao ukanitikisa polepole niinuke kwa magoti yangu na viganja vya mikono yangu.
4 Na malaika aliyekuwa akisema nami akarudi na kuniamsha, kama mtu anayeamshwa kutoka katika usingizi.+