Mwanzo 18:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Kisha Abrahamu akakaribia na kuanza kusema: “Je, kweli utafagilia mbali mwadilifu pamoja na mwovu?+ Malaki 3:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Nanyi mtaona tena tofauti kati ya mwadilifu na mwovu,+ kati ya mtu anayemtumikia Mungu na mtu ambaye hajamtumikia.”+ 2 Petro 2:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Yehova anajua jinsi ya kuwakomboa watu wenye ujitoaji-kimungu kutoka katika jaribu,+ lakini kuwaweka akiba watu wasio waadilifu kwa ajili ya ile siku ya hukumu ili wakatiliwe mbali,+
23 Kisha Abrahamu akakaribia na kuanza kusema: “Je, kweli utafagilia mbali mwadilifu pamoja na mwovu?+
18 Nanyi mtaona tena tofauti kati ya mwadilifu na mwovu,+ kati ya mtu anayemtumikia Mungu na mtu ambaye hajamtumikia.”+
9 Yehova anajua jinsi ya kuwakomboa watu wenye ujitoaji-kimungu kutoka katika jaribu,+ lakini kuwaweka akiba watu wasio waadilifu kwa ajili ya ile siku ya hukumu ili wakatiliwe mbali,+