Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 13:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Na kitu chochote kisishikamane na mkono wako kutoka katika kitu kilichofanywa kuwa kitakatifu kwa marufuku,+ ili Yehova ageukie mbali kutoka kwa hasira yake inayowaka+ naye awape ninyi rehema,+ naye awaonyeshe rehema na kuwazidisha, kama vile alivyowaapia mababu zenu.+

  • Zaburi 25:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Ukumbuke rehema zako,+ Ee Yehova, na fadhili zako zenye upendo,+

      Kwa maana ni za tangu wakati usio na kipimo.+

  • Zaburi 102:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Wewe mwenyewe utasimama, utakuwa na rehema juu ya Sayuni,+

      Kwa maana ni majira ya kumwonyesha kibali,

      Kwa maana wakati uliowekwa umefika.+

  • Isaya 54:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “Kwa maana nilikuacha kabisa kwa muda kidogo,+ lakini nitakukusanya kwa rehema nyingi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki