Isaya 6:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Nami nikasema: “Ole wangu! Kwa maana ni kama nimenyamazishwa, kwa sababu mimi ni mtu asiye na midomo safi,+ nami ninakaa katikati ya watu wasio na midomo safi;+ kwa maana macho yangu yamemwona Mfalme, Yehova wa majeshi, mwenyewe!”+
5 Nami nikasema: “Ole wangu! Kwa maana ni kama nimenyamazishwa, kwa sababu mimi ni mtu asiye na midomo safi,+ nami ninakaa katikati ya watu wasio na midomo safi;+ kwa maana macho yangu yamemwona Mfalme, Yehova wa majeshi, mwenyewe!”+