7 mimi pia nitawaleta katika mlima wangu mtakatifu+ na kuwafanya washangilie ndani ya nyumba yangu ya sala.+ Matoleo yao mazima ya kuteketezwa+ na dhabihu+ zao zitapata kibali juu ya madhabahu yangu.+ Kwa maana nyumba yangu itaitwa nyumba ya sala kwa ajili ya vikundi vyote vya watu.”+
3 “Yehova asema hivi, ‘Nitarudi Sayuni+ na kukaa katikati ya Yerusalemu; na Yerusalemu+ litaitwa jiji la ukweli,+ na mlima wa Yehova+ wa majeshi, ule mlima mtakatifu.’ ”+