Isaya 11:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Na uadilifu utakuwa mshipi wa viuno vyake,+ na uaminifu mshipi wa viuno vyake.+ Ufunuo 1:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 na katikati ya vinara hivyo vya taa palikuwa na mtu kama mwana wa binadamu,+ aliyevikwa vazi lililofika chini miguuni, na aliyefungwa kifuani mshipi wa dhahabu.
13 na katikati ya vinara hivyo vya taa palikuwa na mtu kama mwana wa binadamu,+ aliyevikwa vazi lililofika chini miguuni, na aliyefungwa kifuani mshipi wa dhahabu.