Zaburi 27:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Watenda-maovu walipokuja karibu juu yangu ili wapate kuila nyama yangu,+Wao wakiwa ni wapinzani wangu na adui zangu,+Wao walijikwaa na kuanguka.+ Zaburi 37:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kwa maana mikono ya waovu itavunjwa,+Bali Yehova atakuwa anawategemeza watu waadilifu.+ Zaburi 37:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Na bado yeye akapitilia mbali, naye hakuwepo;+Nami nikaendelea kumtafuta, wala hakupatikana.+
2 Watenda-maovu walipokuja karibu juu yangu ili wapate kuila nyama yangu,+Wao wakiwa ni wapinzani wangu na adui zangu,+Wao walijikwaa na kuanguka.+