Kutoka 15:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Ulipuliza kwa pumzi yako,+ bahari ikawafunika;+Walizama kama risasi katika maji makuu.+ Matendo 12:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Papo hapo malaika wa Yehova akampiga,+ kwa sababu hakumpa Mungu utukufu;+ naye akaliwa na wadudu akakata pumzi.
23 Papo hapo malaika wa Yehova akampiga,+ kwa sababu hakumpa Mungu utukufu;+ naye akaliwa na wadudu akakata pumzi.