17 Naye atakaza uso wake+ kuja na nguvu za ufalme wake wote, naye atakuwa na masharti+ ya usawa pamoja naye; naye atatenda kwa njia yenye matokeo.+ Naye atapewa uwezo kumharibu yule binti wa wanawake. Na binti huyo hatasimama, naye hataendelea kuwa wake.+