9 Tazama! Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova mwenyewe atanisaidia. Ni nani anayeweza kunitangaza mimi kuwa mwovu?+ Tazama! Wote, kama vazi, watachakaa.+ Nondo atawala wao.+
8 Kwa maana nondo atawala wao kana kwamba ni vazi, na nondo wa nguo atawala wao kana kwamba ni sufu.+ Lakini kuhusu uadilifu wangu, utakuwa ni wa mpaka wakati usio na kipimo, na wokovu wangu mpaka vizazi visivyo na hesabu.”+