3 Kwa maana nitamimina maji juu ya mwenye kiu,+ na vijito vinavyotiririka juu ya mahali pakavu.+ Nitaimimina roho yangu juu ya uzao wako,+ na baraka yangu juu ya wazao wako.
23 Nanyi, wana wa Sayuni, furahini na mshangilie katika Yehova Mungu wenu;+ kwa maana atakuwa na wajibu wa kuwapa mvua ya vuli kwa kiasi kinachofaa,+ naye atawaletea ninyi mvua kubwa, mvua ya vuli na mvua ya masika, kama pale mwanzoni.+