16 Wakati huo ndipo Menahemu alipopiga Tifsa na vyote vilivyokuwa ndani yake na eneo lake kutoka Tirsa, kwa sababu haukufunguliwa, naye akaupiga. Akapasua wanawake wote wenye mimba+ wa eneo hilo.
21 Kwa maana kifo kimekuja kupitia madirisha yetu; kimeingia ndani ya minara ya makao yetu, ili kumkatilia mbali mtoto kutoka barabarani, vijana kutoka katika viwanja vya watu wote.’+