26 Nao wakaweka rundo kubwa la mawe juu yake, mpaka leo hii.+ Ndipo Yehova akaiacha hasira yake inayowaka.+ Ndiyo sababu jina la mahali hapo limeitwa Nchi Tambarare ya Chini ya Akori,+ mpaka leo hii.
10 Na Sharoni+ utakuwa uwanja wa malisho kwa ajili ya kondoo+ na nchi tambarare ya chini ya Akori+ mahali pa kupumzikia ng’ombe, kwa ajili ya watu wangu ambao watakuwa wamenitafuta.+