18 Na bado malaika mwingine akatokea katika madhabahu naye alikuwa na mamlaka juu ya moto.+ Naye akapaaza sauti kubwa akamwita yule aliyekuwa na mundu mkali, akisema: “Tia ndani mundu wako mkali ukusanye vishada vya mzabibu wa dunia,+ kwa sababu zabibu zake zimeiva.”