Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 51:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Kwa maana Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, amesema hivi: “Binti ya Babiloni ni kama uwanja wa kupuria.+ Ni wakati wa kumkanyagia chini awe mgumu. Bado kitambo kidogo na wakati wa mavuno utakuja kwa ajili yake.”+

  • Ufunuo 14:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Na bado malaika mwingine akatokea katika madhabahu naye alikuwa na mamlaka juu ya moto.+ Naye akapaaza sauti kubwa akamwita yule aliyekuwa na mundu mkali, akisema: “Tia ndani mundu wako mkali ukusanye vishada vya mzabibu wa dunia,+ kwa sababu zabibu zake zimeiva.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki