Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 13:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa maana nyota za mbinguni na makundi-nyota yake ya Kesili+ hazitatoa nuru yake; jua litakuwa na giza linapochomoza, na mwezi hautatoa nuru yake.

  • Ezekieli 32:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “ ‘Na wakati utakapozimwa nitazifunika mbingu na kuzitia giza nyota zake. Nalo jua, nitalifunika kwa mawingu, na mwezi wenyewe hautaacha nuru yake iangaze.+

  • Yoeli 2:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Jua litageuzwa kuwa giza,+ na mwezi kuwa damu,+ kabla ya kuja kwa ile siku ya Yehova iliyo kuu na yenye kuogopesha.+

  • Matendo 2:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 jua+ litageuzwa kuwa giza na mwezi kuwa damu kabla ya kufika kwa ile siku ya Yehova iliyo kuu na yenye fahari.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki