40 Na sehemu ya kumi ya kipimo cha efa ya unga laini+ uliotiwa sehemu ya nne ya hini ya mafuta yaliyopondwa, na toleo la kinywaji+ la sehemu ya nne ya hini ya divai, vitatolewa kwa ajili ya yule mwana-kondoo dume wa kwanza.
4 Hawataendelea kummiminia Yehova divai.+ Na dhabihu zao hazitampendeza;+ hizo ni kama mkate wa nyakati za maombolezo+ kwao; wote wanaoula watajitia unajisi. Kwa maana mkate wao ni kwa ajili ya nafsi zao wenyewe; hautaingia katika nyumba ya Yehova.+