Yeremia 7:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 “Nyoa nywele zako ambazo hazijakatwa na kuzitupilia mbali,+ na kuimba wimbo wa huzuni+ juu ya vilima vilivyo wazi, kwa maana Yehova amekikataa+ naye atakiacha kizazi ambacho amekighadhibikia.+ Ezekieli 19:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 “Nawe, imba wimbo wa huzuni+ kuhusu wakuu wa Israeli,+ Ezekieli 27:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Na wewe, Ee mwana wa binadamu, mfanyie Tiro wimbo wa huzuni,+
29 “Nyoa nywele zako ambazo hazijakatwa na kuzitupilia mbali,+ na kuimba wimbo wa huzuni+ juu ya vilima vilivyo wazi, kwa maana Yehova amekikataa+ naye atakiacha kizazi ambacho amekighadhibikia.+