15 “Tazama! nimekufanya kuwa chombo cha kupuria,+ kifaa kipya cha kupuria kilicho na meno yenye makali kuwili. Utaikanyaga milima na kuiponda; na vilima utavifanya kuwa kama tu makapi.+
33 Kwa maana Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, amesema hivi: “Binti ya Babiloni ni kama uwanja wa kupuria.+ Ni wakati wa kumkanyagia chini awe mgumu. Bado kitambo kidogo na wakati wa mavuno utakuja kwa ajili yake.”+