Zaburi 78:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Mbele ya mababu zao yeye alikuwa ametenda kwa njia ya ajabu.+Katika nchi ya Misri,+ kiwanja cha Soani.+ Isaya 63:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Na mtu akaanza kuzikumbuka siku za zamani za kale, Musa mtumishi wake: “Yuko wapi Yeye aliyewapandisha kutoka katika bahari+ pamoja na wachungaji wa kundi lake?+ Yuko wapi Yeye aliyetia ndani yake roho Yake takatifu?+ Yeremia 23:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 “Kwa hiyo, tazama! siku zinakuja,” asema Yehova, “nao hawatasema tena, ‘Yehova yuko hai aliyewaleta wana wa Israeli kutoka katika nchi ya Misri,’+
12 Mbele ya mababu zao yeye alikuwa ametenda kwa njia ya ajabu.+Katika nchi ya Misri,+ kiwanja cha Soani.+
11 Na mtu akaanza kuzikumbuka siku za zamani za kale, Musa mtumishi wake: “Yuko wapi Yeye aliyewapandisha kutoka katika bahari+ pamoja na wachungaji wa kundi lake?+ Yuko wapi Yeye aliyetia ndani yake roho Yake takatifu?+
7 “Kwa hiyo, tazama! siku zinakuja,” asema Yehova, “nao hawatasema tena, ‘Yehova yuko hai aliyewaleta wana wa Israeli kutoka katika nchi ya Misri,’+